• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

01 February 2019

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA KOROGWE ANATANGAZA NAFASI ZA KAZI KWA MAFUNDI UJENZI WENYE UZOEFU WA KUTOSHA KUJENGA MAJENGO YA SERIKALI.

SIFA ZA MWOMBAJI:

1. AWE RAIA WA TANZANIA

2. AWE NA UMRI WA MIAKA KUMI NA NANE (18) NA KUENDELEA.

3. AWE HAJAWAHI KUTUHUMIWA NA KUFUNGWA.

4. AWE NA UZOEFU NA UJENZI WA MAJENGO YA SERIKALI.

5. AWE NA VIFAA VYA KAWAIDA VYA FUNDI UASHI.

6. AWE ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA.

7. AWE NA UWEZO WA KUSOMA RAMANI NA KUITAFSIRI.

8. AWE HAJAWAHI KUSHINDWA KUFANYA KAZI ALIZOPEWA KWA KUTOMALIZA KWA WAKATI.

9. MAFUNDI WENYEJI WATAPEWA  KIPAUMBELE.


BARUA YA MAOMBI ITUMWE KWA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA KWA ANWANI IFUATAYO:

MKURUGENZI MTENDAJI  (W)

S.L.P 584

KOROGWE


MWISHO WA KUPOKEA BARUA YA MAOMBI NI JUMATANO TAREHE 06/02/2019 SAA 4:00 ASUBUHI. BAADA YA HAPO HAKUNA BARUA YOYOTE ITAKAYOPOKELEWA.

Limetolewa na:

Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,

Halmashauri ya Wilaya,

Korogwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA NA MASHAMBA August 23, 2019
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA NNE November 14, 2019
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA NA MASHAMBA January 30, 2019
  • KATAZO LA MATUMIZI YA MIFUKO YA PLASTIKI May 21, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2019

    June 29, 2019
  • UHAMASISHAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    March 02, 2019
  • Ujenzi wa mradi wa maji Kijiji cha Mkokola kwa umeme wa jua

    February 12, 2019
  • UHAMASISHAJI UJENZI WA MADARASA

    December 13, 2018
  • View All

Video

Uhamasishaji Ujenzi wa Madarasa
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa