• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari

Jinsi ya Kupata fomu ya Maombi ya leseni ya Biashara

UTARATIBU WA KUTOA LESENI

Leseniya Biashara 

Hiki ni kibali maalum cha Serikali kinachotolewa kwamfanyabiashara yeyote anapotaka kufanya biashara hapa nchini. Sheria ya Leseniza Biashara Na. 25 ya 1972 – Kifungu cha 3(a) kimeweka bayana kuwa, Kibalihicho maalumu kinaitwa Leseni ya Biashara. Kwa hiyo basi, kufanya biasharayoyote bila kuwa na kibali hiki ni kosa la jinai.

IliMwombaji Apate Leseni Ya Biashara Anapaswa Kumbatanisha Nyaraka Zifuatazo:

· Nakala ya hati ya kuandikisha jina laBiashara au Kampuni (Photocopy of Certificate of Incorporation or Registration& Extract);

· “Memorandum, and Articles ofAssociation” ambazo zitaonyesha kuwa Kampuni imeruhusiwa kisheria kufanyabiashara inayoombwa, pamoja na majina ya wamiliki wa kampuni, hisa zao nautaifa wao;

· Uthibitisho wa uraia kwa kuwasilisha,nakala ya hati ya kusafiri nje ya nchi ya Tanzania au hati ya kusafiri katikanchi za Afrika Mashariki, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo (Affidavit)kuonyesha kuwa ni Mtanzania, na kama mgeni alete hati ya kuishi nchini darajala kwanza (Residence Permit Class A).

· Endapo wenye hisa wote wapo nje yanchi itabidi maombi yaambatane na hati ya kiwakili (Power of Attorney) ya kumpamamlaka raia wa Tanzania, raia wa kigeni mwenye hati ya kuishi nchini daraja“A” au hati ya kufanya kazi nchini daraja “B” zinazoainisha kuwa anasimamiakampuni husika.

· Nakala ya ushahidi wa maandishi kuwaana mahali pa kufanyia biashara (lease agreement, Title deed, Certificate ofoccupancy, e.t.c); 

· Hati ya kujiandikisha kama mlipa kodi(Tax Payer Identification Number - TIN).

UtaratibuWa Kupewa Leseni:

Jaza fomu ya maombi ya Leseni (TFN 211 ya 2004)

· Ambatanisha nyaraka kama ilivyoainishwa hapo juu kwa ajiliya ukaguzi (assessment) na kujulishwa kiasi cha ada cha kulipa

FOMU BIASHARAA.pdf

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA December 15, 2020
  • Mapokezi ya Fedha za Ujenzi wa kituo cha Afya February 11, 2018
  • TANGAZO KWA WATUMISHI November 05, 2018
  • View All

Habari Mpya

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2019

    June 29, 2019
  • UHAMASISHAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    March 02, 2019
  • Ujenzi wa mradi wa maji Kijiji cha Mkokola kwa umeme wa jua

    February 12, 2019
  • UHAMASISHAJI UJENZI WA MADARASA

    December 13, 2018
  • View All

Video

Uhamasishaji Ujenzi wa Madarasa
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa