Viongozi wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kikao cha tathmini kilichofanyika Makuyuni siku ya ijumaa tarehe 13-8-2021.Kutoka kushoto wa kwanza ni Mwenyekiti wa kamati ya uchumi,ujenzi na mazingira ndugu Idd Shebila ,anaefuata ni mh.mbunge wa jimbo la korogwe vijijini ndugu Timotheo Mnzava,anaefuata ni Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Ndugu Habiba Mtunguja,katikati ni Mh.Mwenyekiti wa Halmashauri Ndugu Yusuph Sadiki Kalaghe, anaefuata ni makamu mwenyekiti ndugu Muhidini Mnkande,anaefuta ni M/kiti wa kamati ya Maadili ya Madiwani Mwajuma Msuya na wa mwisho kulia ni M/kiti wa kamati ya Maji,Elimu na Afya bwana Emanuel Mng'ong'ose
Korogwe District Council
Postal Address: P.o Box 584
Telephone: 027- 2650017/2650061
Mobile:
Email: ded@korogwedc.go.tz
Haki milikiĀ©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa