• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

Watumishi Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Wahimizwa Kusimamia Miradi kwa Wakati

Posted on: October 25th, 2024

Hayo yamesemwa leo wakati wa ukaguzi wa Miradi uliofanywa na kamati ya fedha ya Halmashauri ya wilaya ya Korogwe.Takribani Miradi Saba imekaguliwa leo na kamati ya fedha ikiwemo Miradi Mitatu Katika tarafa ya Mombo ikiwa ni Ukarabati wa Nyumba moja ya mwalimu na Vyumba sita (6) vya madarasa katika Shule ya Msingi Mkalamo,Ujenzi wa vyumba vitatu (3) vya madarasa na matundu sita (6) ya vyoo katika shule ya Msingi Makuyuni na ujenzi jengo la utawala la halmashauri ya wilaya ya korogwe.

Aidha katika tarafa ya Magoma kamati ilikagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Makorola,kadhalika ujenzi wa matundu kumi na sita (16) ya vyoo shule ya msingi Sekioga,Nyumba ya mwalimu,madarasa manne (4),mabweni manne (4) na matundu ya vyoo kumi (10) katika shule ya sekondari Foroforo pamoja na ujenzi wa chumba kimoja (1) na matundu nane (8) ya vyoo katika shule ya sekondari Mashewa.







Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MADEREVA March 02, 2026
  • View All

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE MKOA WA TANGA YAHITIMISHWA KOROGWE

    March 08, 2026
  • MHE.DOROTHY GWAJIMA AFANYA ZIARA HALMASHAURI YA WILAYA YA KOROGWE

    February 23, 2026
  • WALIMU SHULE ZA MSINGI WAPATIWA MAFUNZO YA KUINUA UFAULU WA SOMO LA HISABATI NA KIINGEREZA

    February 13, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KOROGWE KATIKA MAKUSANYO YA MAPATO

    February 03, 2026
  • View All

Video

MAFUNZO YA WALIMU MSINGI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa