Kikao cha baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kimefanyika leo.
Moja ya mijadala mzito uliochukua nafasi kubwa ni juu ya wapi Hospitali ya Wilaya itaweza kujengwa kati ya maeneo matatu ambayo wataalam.wameyafanyia kazi.
Ikiwa tayari maeneo matatu yao Kerenge Kibaoni, Kwamazanu na kule Makuyuni yamependeezwa kinchosubiriwa ni utekelezaji wa ujenzi.
Uwepo wa hospitali hii itasaidia katika upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wa Wilaya ya Korogwe Vijijini.
Korogwe District Council
Postal Address: P.o Box 584
Telephone: 027- 2650017/2650061
Mobile:
Email: ded@korogwedc.go.tz
Haki milikiĀ©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa