• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

TUKASIMAMIE MAPATO YA HALMASHAURI KWA KUSHIRIKIANA NA WATAALAM

Posted on: December 4th, 2025

Maneno hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Mhe. Selemani Mwongozo wakati kuunda baraza jipya la madiwani litakalotumikia kwa miaka mitano baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wakati Mhe. Emmanuel Mng’ong’ose akiteuliwa kuwa Makamu wake.Waheshimiwa Madiwani hao wameapa leo mapema tayari kwenda kuunaza majumu yao mapya.Katika kundio hilo linalojumuisha madiwani wapya na wa Zamani.


Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Mnzava, ametoa matumaini mapya kwa wananchi wa Wilaya ya Jimbo la Korogwe Vijijini akiahidi ushirikiano thabiti kwa uongozi wa baraza jipya la Madiwani, Katika hutua yake hiyo alisisitiza kusimamia ipasavyo maendeleo ya Wananchi wa korogwe Vijijini.

Sanjari na hayo Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe.William Mwakilema amewapongeza Madiwani hao kwa kuchaguliwa tena kuwatumikia wananchi.Aidha Mheshimiwa Mwakilema akatoa Wito kwa Madiwani Kuongea na Wananchi kutunza amani ya Nchi hasa katika kipindi hichi ambacho nchi ilipitia kwenye changamoto.

 Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe alipokea  pongezi za waheshimiwa madiwani kwa kusimamia mapato katika kipindi ambacho hawakuwepo na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano mzuri ili kuendelea kuongeza mapato ya halmashauri yetu.

     


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 18, 2026
  • View All

Habari Mpya

  • MAPATO YASIMAMIWE IPASAVYO KUFIKIA MALENGO YA HALMASHAURI

    January 15, 2026
  • SIMAMIENI MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

    January 14, 2026
  • TUFANYE KAZI KWA WELEDI KUINUA WILAYA YETU KIELIMU

    January 06, 2026
  • SHIKAMANENI KWA UMOJA KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI

    January 05, 2026
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa