• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

SHIKAMANENI KWA UMOJA KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI

Posted on: January 5th, 2026

Hayo yamesemwa leo na Mbunge wa jimbo la Korogwe vijiji Mhe. Timotheo Paul Mzava ikiwa ni katika vikao vyake na makundi mbalimbali mara baada ya kuchaguliwa katika awamu nyingine.Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya kikiuzuriwa na viongozi  wa kisiasa,kamati ya ulinzi na usalama na viongozi wa serikali.

Mhe. Mnzava amewataka wenyeviti hao kushirikiana na wataalamu ipasavyo ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili Wananchi kisha akakemea tabia ya baadhi ya Wenyeviti hao kuuza ardhi kiholela kupitia nafasi zao.

Kwa upande mwingine Kaimu Mkurugenzi Bi. Helen Mshana aliwakumbusha wenyeviti hao kufanya vikao vya kisheria kwa utaratibu akisisitiza suala zima la kusoma mapato na matumizi kwa Wananchi.

 Nae Katibu wa Chama cha Mapiduzi Jimbo la Korogwe Vijijini Bi.Safina Nchimbi amewaambia viongozi hao kwenda kutoa ushirikiano wa kutosha Wananchi akisisitiza suala la kulinda Amani kwani uchaguzi umeshapita sasa ni wakati wa kuijenga Nchi kimaendeleo.

   

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • TUFANYE KAZI KWA WELEDI KUINUA WILAYA YETU KIELIMU

    January 06, 2026
  • SHIKAMANENI KWA UMOJA KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI

    January 05, 2026
  • TUKASIMAMIE MAPATO YA HALMASHAURI KWA KUSHIRIKIANA NA WATAALAM

    December 04, 2025
  • TUKASIMAMIE MAPATO YA HALMASHAURI KWA KUSHIRIKIANA NA WATAALAM

    December 04, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa