• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

TUFANYE KAZI KWA WELEDI KUINUA WILAYA YETU KIELIMU

Posted on: January 6th, 2026

Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini Mhe. Timotheo Paul Mnzava akutana na Walimu wakuu wa shule za Msingi na Sekondari pamoja na Maafisa elimu kata ikiwa ni katika muendelezo wa Vikao vyake na Makundi mbalimbali kusikiliza changamoto zinazikabili makundio hayo.

Katika kikao hicho Mhe. Mnzava aliwapongeza Walimu hao kwa kufanya kazi kwa kujituma saana  na hasa katika kusimamia miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa katika shule zao.Mbali na sifa hizo Mhe. Mnzava hakuacha kuwakemea baadhi ya Walimu kwa kufanya mambo kinyume na maadili ya ualimu yanavyotaka akigusia suala la walimu kuwa walevi,watoro kazini na tabia ya kutembea na Wanafunzi.

Kwa upande wa Walimu  nao walitoa changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo masuala ya Maslahi yao pamoja Motisha ili kuchagiza kufanya kazi kwa bidii,Ufinyu wa fedha kwa ajili ya kuendesha shule,Upungufu wa Madawati pamoja na Miundombinu chakavu ya Madarasa.Aidha Walimu hao walimuomba Mbunge huyo kuwaasa Wananchi Pindi wanapokuwa Majukwaani juu ya umuhimu wa elimu na kuwa na ushirikiano Mzuri na  Walimu hao.

   

   

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • TUFANYE KAZI KWA WELEDI KUINUA WILAYA YETU KIELIMU

    January 06, 2026
  • SHIKAMANENI KWA UMOJA KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI

    January 05, 2026
  • TUKASIMAMIE MAPATO YA HALMASHAURI KWA KUSHIRIKIANA NA WATAALAM

    December 04, 2025
  • TUKASIMAMIE MAPATO YA HALMASHAURI KWA KUSHIRIKIANA NA WATAALAM

    December 04, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa