• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

SIMAMIENI MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

Posted on: January 14th, 2026

Na Omary Mwinjuma,Korogwe DC

Maelekezo hayo yamesemwa na menejimenti ya Mkoa wa Tanga Wakati wa kukagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika halmashauri ya wilaya ya Korogwe.Menejimenti hiyo ikiungana na timu ya wataalamu wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe walitembelea miradi mbalimbali ikiwemo ukamilishwaji wa jengo la utawala katika hospitali ya wilaya Makuyuni na ujenzi wa shule mpya  ya Msingi katika kata ya Mkomazi ambapo shughuli za ujenzi bado zinaendelea.

Aidha Menejimenti hiyo ilitembelea kikundi cha wanufaika wa mkopo 10% cha Tunajali kilichopo kata ya Makuyuni kinachojishughulisha na shughuli za upishi na Ukodishaji wa Maturubai.Hapa Menejimenti ilikipongeza kikundi hicho kwa kufanya kazi kwa ushirikiano mzuri na kufanikiwa kurudisha mkopo huo kwa wakati.Vilevile imevitaka vikundi vingine kujifunza kutoka katika kikundi hicho ili kuweza kuwa na mafanikio mazuri na kuhimiza mshikamano Zaidi yao.

Kwa upande wa kikundi wameshukuru serikali ya awamu ya sita kupitia uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe,huku wakiomba wapatiwe tena mkopo mara baada ya kumaliza kurejesha ili waweze kununua usafiri wao ambao umekuwa ni kikwazo katika huduma wanayoitoa kwa jamii.

   

  

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MAPATO YASIMAMIWE IPASAVYO KUFIKIA MALENGO YA HALMASHAURI

    January 15, 2026
  • SIMAMIENI MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

    January 14, 2026
  • TUFANYE KAZI KWA WELEDI KUINUA WILAYA YETU KIELIMU

    January 06, 2026
  • SHIKAMANENI KWA UMOJA KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI

    January 05, 2026
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa