• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

Baraza la Taarifa za Kawaida na Baraza la Tathmini

Posted on: August 23rd, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Mheshimiwa Yusuph Kallaghe leo ameongoza wajumbe  wa baraza la Madiwani ambapo leo hii kulifanyika  Baraza la Taarifa za Kawaida na Baraza la Tathimini kwa pamoja.

Mabaraza hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Zamani wa Halmshauri  uliopo Korogwe Mjini,aidha katika Baraza la Taarifa Wajumbe walijadili na kupitisha Taarifa mbalimbali zikiwemo za miradi na nyinginezo.Sambamba na hayo waheshimiwa madiwani walipiga kura Kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ambapo Mheshimiwa Muhidini Rajab alichaguliwa tena kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri

Aidha Katika Baraza la Tathmini Mheshimiwa  Yusufu Kallage Alisisitiza Kukamilika kwa miradi kabla ya kuanza kwa robo nyingine ya mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Ubunifu na Mbinu za Bora Kuchochea maendeleo ya Elimu Halmashauri ya wilaya Korogwe

    December 03, 2025
  • TAASISI YA BRAC YAWEZESHA VIJANA KOROGWE KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    November 26, 2025
  • LISHE BORA KUIMARISHA AFYA ZA JAMII KUJENGA TAIFA IMARA

    November 25, 2025
  • Changamoto za madarasa Shalaka kuchockea maandeleo ya elimu

    November 17, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa