• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe yapongezwa Kupata Hati safi na Ukusanyaji bora wa Mapato kwa Miaka Mitano Mfululizo.

Posted on: June 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe kwa kupata Hati safi kutoka kwa Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Miaka mitano (5) mfululizo pamoja na ukusanyaji mzuri wa Mapato kwa kuvuka lengo la ukusanyaji  Mh Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa pongezi hizo katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kupitia Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),kilichofanyika leo tarehe 14 Juni 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Korogwe.Katika Kikao hicho Dkt. Batilda Burian aliagiza Menejimenti chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe kuhakikisha hoja zote za Ukaguzi zilizowasilishwa zinajibiwa kwa vielelezo kikamilifu hadi ifikapo Juni 30, 2025.

Kikao hicho kilihudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Korogwe Mhe.William Mwakilema Katibu Tawala Wilaya ya Korogwe Bi. Mwanaidi Rajabu, Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa pamoja na ya Wilaya, Maafisa kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,Waheshimiwa Madiwani Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya Korogwe,Wakuu wa Idara na Vitengo.

Sanjari na hayo Mkuu wa Mkoa wa Tanga amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya  Wilaya ya Korogwe Wakili.Goodluck Mwangomango na Menejimenti yake kwa kufanya kazi kwa Ushirikiano Mzuri wenye kuleta mafanikio huku akitoa maelekezo kwa Idara ya Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa jamii pamoja na Sheria kuwatembelea Wananchi ili Kuwa kiunganishi kati ya Wananchi na Serikali.


 

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI KWA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BIYOMETRIKI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA January 22, 2025
  • ORODHA YA MAJINA KUITWA KWENYE SEMINA YA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BIYOMETRIKI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA January 31, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Shule za Msingi Korogwe zanufaika na Mradi wa uhifadhi Mazingira na Shule bora

    June 24, 2025
  • Shilingi Million 237,396,000 kuwanyanyua kiuchumi wakazi wa Korogwe Vijijini,

    June 20, 2025
  • Wataalamu Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Wahusiwa kuisimamia Halmashauri kwa uadilifu

    June 19, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe yapongezwa Kupata Hati safi na Ukusanyaji bora wa Mapato kwa Miaka Mitano Mfululizo.

    June 14, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa