• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

LISHE BORA KUIMARISHA AFYA ZA JAMII KUJENGA TAIFA IMARA

Posted on: November 25th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe.William Mwakilema ameipongeza Halmashauri kwa kusimamia lishe huku akihimiza jamii kuzingatia lishe bora ili kuweza kuwa na afya njema kuepukana na maradhi ya utapia mlo pamoja na afya dhohofu.Mhe.Mwakilema ameyasema hayo wakati wa kikao cha tathmini ya lishe cha robo ya kwanza ambacho kimefanyika leo katika ukumbi wa Halmashari ya wilaya ya Korogwe Uliopo Mkuyuni kikihusisha wataalamu mbalimbali na watendaji wa kata.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Adv. Goodluck Mwangomango amewashauri wataalamu wa lishe kuweka Ratiba ili kuweza kutoa elimu kuanzia shuleni na ngazi ya kata juu ya suala la lishe Bora kwa jamii.

Katika kikao hicho baadhi ya wajumbe walitoa maoni wakipendekeza kuanzisha klabu za lishe shuleni ili wanafunzi waweze kujifunza mambo mbalimbali yatokanayo na lishe Pamoja kuwa na matamasha mbalimbali ili kuijenga uwezo yakinifu wa masuala ya lishe.

   

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • TAASISI YA BRAC YAWEZESHA VIJANA KOROGWE KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    November 26, 2025
  • LISHE BORA KUIMARISHA AFYA ZA JAMII KUJENGA TAIFA IMARA

    November 25, 2025
  • Changamoto za madarasa Shalaka kuchockea maandeleo ya elimu

    November 17, 2025
  • KIWANJA CHA NDEGE MOMBO KUFUNGUA UCHUMI WA KOROGWE NA LUSHOTO

    November 10, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa