• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

Shilingi Million 237,396,000 kuwanyanyua kiuchumi wakazi wa Korogwe Vijijini,

Posted on: June 20th, 2025

Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijiji Mhe.Timotheo Mnzava akabidhi mfano wa Hundi kwa vikundi vya Wajasiliamali ambapo Jumla ya Vikundi 11 Vimepatiwa mkopo huo wa asilimia 10 wa Halmashauri utakaowasaidia Wananchi wa korogwe kujikwamua Kiuchumi kwa kufanya biashashara mbalimbali

Katika halfa Hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ulipo Makuyuni ikihudhuriwa na wataalama wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe.Mhe.Tumotheo Mnzava amewaasa wana vikundi hao kwenda kuzitumia fedha walizokabidhiwa kwa malengo waliombea kupata mkopo na kuzirudisha kwa wakati fedha hizo ili ziweze kuwasaidia na wanavikundi wengine.

Sambamba na hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya korogwe wakili.Goodluck Mwangomango amewataka kulipa kodi pindi watakapofungua biashara zao ili kuweza kuchangia pato la Halmashauri.

   


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • UHIFADHI WA MISITU KUONGEZA UCHUMI KWA WAKAZI WA KOROGWE

    September 29, 2025
  • Wataalamu wa Mifugo wa Fanya kikao cha Uzinduzi wa Chanjo za Mifugo

    July 17, 2025
  • Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Bw. Burhan Ngulungu ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO`s) kufuata taratibu na Sheria

    July 01, 2025
  • Shule za Msingi Korogwe zanufaika na Mradi wa uhifadhi Mazingira na Shule bora

    June 24, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa