• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

Shule za Msingi Korogwe zanufaika na Mradi wa uhifadhi Mazingira na Shule bora

Posted on: June 24th, 2025

Mafunzo haya yameanza leo katika shule ya Msingi Gereza  kupitia program ya shule bora kumuunga mkono Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan yakiwa na  lengo Kuhifadhi mazingira na utumiaji wa nishati safi

Akifungua Mafunzo hayo Muwakilishi wa Afisa Elimu Msingi Mwl. Marietha Hipolite  amesema Mradi huu  utarajiwa kutekelezwa kwenye kata 10 za Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe ukihusisha uanzishwaji wa Vitalu vya Miti pamoja matumizi ya Nishati safi ya kupikia. akiwapitisha kwenye Mafunzo hayo Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Bwn. Titus Muyombo Amesema kuna umuhimu mkubwa sana wa kutunza Kutunza mazingira safi na salama shuleni

Mafunzo haya ya siku mbili yanatarajiwa kuwajengea uwezo Walimu wa kuu na walimu wa Mazingira Kusimamia vyema suala la utunzaji wa Mazingira shuleni pamoja na maeneo jerani yanayozunguka ili yaweze kuwa salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 18, 2026
  • View All

Habari Mpya

  • MAPATO YASIMAMIWE IPASAVYO KUFIKIA MALENGO YA HALMASHAURI

    January 15, 2026
  • SIMAMIENI MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

    January 14, 2026
  • TUFANYE KAZI KWA WELEDI KUINUA WILAYA YETU KIELIMU

    January 06, 2026
  • SHIKAMANENI KWA UMOJA KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI

    January 05, 2026
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa