• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

Ubunifu na Mbinu za Bora Kuchochea maendeleo ya Elimu Halmashauri ya wilaya Korogwe

Posted on: December 3rd, 2025

Na Omary Mwinjuma

Waratibu elimu na Walimu waandelea kunolewa kuongeza mbinu bora za ujifunzaji na ufundishaji ili kuongeza za ufaulu wa wanafunzi wa shule za msingi kupitia programu ya Shule bora kushirikiana na Serikali ya Tanzania. Mafunzo hayo yameanza leo katika shule ya msingi Boma iliyopo Korogwe Mji yakiwa na lengo la kuongeza ufaulu na kupunguza mdondoko wa wanafunzi shuleni.

Akiongea na Wataalamu hao Afisa wa Mradi wa Shule Bora Mkoa wa Tanga Bwn. Marsel Salema amewaambia walimu hao wakawe wabunifu hasa katika kutengeneza mazingira bora ya kufundishia na Kujifunzia ili kuweka mahusiano mazuri kati ya Mwalimu na Mwanafunzi ili kujenga hari ya kujifunza Zaidi.

Aidha kwa upande wa wanufaika wa programu hiyo wamesema wanaishukuru sana serikali kupitia mradi huo wa shule bora kwa kujengewa uwezo mzuri na mbinu bora za kujifunzia na kufundishia ili kwenda kuleta tija kuinua sekta ya elimu Nchini,sambamba na hayo walimu hao wameahidi kwenda kuleta mabadiliko katika sekta ya elimu ikiwemo  kusambaza maarifa hayo kwa walimu wengine waliopo shuleni.

    


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Ubunifu na Mbinu za Bora Kuchochea maendeleo ya Elimu Halmashauri ya wilaya Korogwe

    December 03, 2025
  • TAASISI YA BRAC YAWEZESHA VIJANA KOROGWE KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    November 26, 2025
  • LISHE BORA KUIMARISHA AFYA ZA JAMII KUJENGA TAIFA IMARA

    November 25, 2025
  • Changamoto za madarasa Shalaka kuchockea maandeleo ya elimu

    November 17, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa