• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

UHIFADHI WA MISITU KUONGEZA UCHUMI KWA WAKAZI WA KOROGWE

Posted on: September 29th, 2025

Tuitunze misitu kwa faida ya kizazi cha sasa na baadae pamoja na kuongeza uchumi wa mtu mmoja moja na taifa kwa ujumla,hayo yamesmwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Wakili.Goodluck Mwangomango wakati wa ufunguzi wa sherehe za kuadhimisha miaka 40 ya Shirika la Kidini DANMISSION ambalo linafanya kazi pamoja na shirika la Tanzania Forest Conservation Group (TFCG) katika upandaji na uhifadhi wa misitu .

Wilaya ya Korogwe imepata bahati ya kuwa sehemu ya Mradi wa uhifadhi wa mazingira kupitia shirika la Tanzania Forest Conservation Group (TFCG),ambapo miradi hii inatekelezwa katika kata ya Lewa-Kijiji cha Mashindei na Kata ya Vugiri.Wakazi wa vijiji hivyo wamenufaika na mradi huo ambapo wamepewa elimu ya utunzaji wa Misitu pamoja na kuanzisha kilimo cha Viungo mbalimbali ambapo Wananchi wameanza kufanya kilimo hicho.

Mkurugenzi wa Tanzania Forest Conservation Group (TFCG) Ndugu.Charles Meshack amemshukuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe kwa Ushirikiano walioupata katika kutekeleza Mradi huo na kuendelea kuwasihi Wananchi wa korogwe kuendelea kuitunza miradi hiyo.

Kwa upande wa Wananchi wa Wilaya Korogwe wamesema wamefurahishwa sana na mradi huo kwani umewaongezea kipato pamoja na kupata ujuzi mzuri katika kuhifadhi mazingira ya misitu na kutumia nishati safi ikiwa ni kumuunga Mkono DKT. Samia Suluhu Hassan katika kampeni ya kuhifadhi mazingira na matumizi bora ya nishati safi.  

Na Omary Mwinjuma KorogweDC

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • UHIFADHI WA MISITU KUONGEZA UCHUMI KWA WAKAZI WA KOROGWE

    September 29, 2025
  • Wataalamu wa Mifugo wa Fanya kikao cha Uzinduzi wa Chanjo za Mifugo

    July 17, 2025
  • Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Bw. Burhan Ngulungu ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO`s) kufuata taratibu na Sheria

    July 01, 2025
  • Shule za Msingi Korogwe zanufaika na Mradi wa uhifadhi Mazingira na Shule bora

    June 24, 2025
  • View All

Video

Historia ya kijiji cha Kiloza
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa