• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA SAMIA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA KOROGWE

Posted on: May 13th, 2025

Hospitali ya wilaya ya korogwe [Makuyuni] imebahatika kupokea huduma mkoba [tembezi] ya madaktari bingwa wa Mama Samia. Huduma hizo zinatolewa  kwa siku tano kuanzia tarehe 12/05/2025 hadi tarehe 17/05/2025, ambapo zoezi rasmi limeanza leo siku ya jumanne kuanzia asubuhi mpaka jioni.

Madaktari wanaoshughulika na kutoa huduma hizo wametoka sehemu mbalimbali nchini Tanzania kwa lengo la kuhakikisha huduma bora za afya na za kibingwa zinawafikia watu wa hali ya chini. Huduma hizi zinatolewa kama moja ya utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi na serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.Huduma zinazotolewa ni kama vile;-

  • Huduma za upasuaji wa mfumo wa mkojo
  • Huduma ya magonjwa ya wanawake
  • Huduma ya upasuaji wa kinywa na meno
  • Huduma ya magonjwa ya ndani kama vile presha,kisukari na magonjwa ya moyo
  • Huduma ya ganzi na usingizi na
  • Huduma ya magonjwa ya watoto

Kutokana na watu wa hali za chini kushindwa kuzifikia huduma za madaktari bingwa nchini, hivyo basi serikali ya awamu ya sita imeanzisha kampeni hii ya huduma mkoba (tembezi) lengo kubwa ni kuwarahisishia watu hawa kupata huduma hizo kwa urahisi kulingana na hali zao. Pia kampeni hii imeanzishwa kama hamasa ya kuwafikia watu wa ngazi ya chini kwenye mahitaji yao ya kimsingi kama vile afya, elimu na huduma nyingine

Huduma zinatolewa kwa utaratibu wa kawaida yani mwenye bima atahudumiwa kwa kutumia bima yake na asie na bima atalazimika kutumia gharama za matibabu na ambao wanahudumiwa bure kisheria basi watahudumiwa. Ujaji wa madaktari na uwepo wao siku zote hospitalini gharama ni za serikali, hii inaonesha ni kwa kiasi gani serikali ya awamu ya sita inawajali na kuwathamini wananchi wake wa hali zote nchini.

 Licha ya hali ya hewa ya mawingu na manyunyu wananchi wa wilaya ya korogwe vijijini wamejitokeza kwa wingi mno, hii inaonesha ni kwa jinsi gani wana uhitaji wa dhati wa kupata huduma hizo za kibingwa. Pia wananchi wameshukuru sana kufikiwa na huduma hizi maana ilikuwa inawagharimu kuandaa gharama kubwa mpaka kuzifikia huduma hizo ambapo hali hii inapelekea wagonjwa hao kuishi na magonjwa yao mtaani kutokana na hali zao za kimaisha, hivyo wanashukuru na wanaomba huduma hizi zipatikane kila baada ya muda fulani ili kupunguza vifo vya watu wa ngazi za chini ili kulinda rasilimali watu na Taifa kwa ujumla

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Muda za Watendaji wa Vituo vya Kupigia Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2025 July 03, 2025
  • ORODHA YA MAJINA KUITWA KWENYE SEMINA YA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BIYOMETRIKI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA January 31, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI KWA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BIYOMETRIKI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA January 22, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Bw. Burhan Ngulungu ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO`s) kufuata taratibu na Sheria

    July 01, 2025
  • Shule za Msingi Korogwe zanufaika na Mradi wa uhifadhi Mazingira na Shule bora

    June 24, 2025
  • Shilingi Million 237,396,000 kuwanyanyua kiuchumi wakazi wa Korogwe Vijijini,

    June 20, 2025
  • Wataalamu Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Wahusiwa kuisimamia Halmashauri kwa uadilifu

    June 19, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa