• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

WAKAZI WA WILAYA YA KOROGWE WARIDHIKA NA MAENDELEO YA MIRADI AWAMU YA SITA

Posted on: January 9th, 2025

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji leo tarehe 09 Januari 2025 amekagua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi mbalimbali inayotekelezwa katika halmashauri wilaya ya korogwe ambapo amesema fedha za miradi ya maendeleo zilizopelekwa katika halmashauri ya Wilaya ya Korogwe zimesimamiwa kikamilifu kutekeleza miradi hiyo.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika Kata ya Magoma - Kijiji cha Makangara, mara baada ya kufanya ukaguzi wa miradi hiyo.Amesema hayo baada ya baadhi ya wananchi wa Magoma kukiri  kuridhishwa na maendeleo ya miradi inayotekelezwa katika tarafa hiyo.

Katika ziara hiyo Mhe. Dkt. Kijaji ametembelea, amekagua na kuweka mawe ya msingi ya miradi ya ujenzi ya madarasa na matundu ya vyoo katika shule mpya ya sekondari Makorola na ujenzi wa mabweni shule ya sekondari Foroforo pamoja na ujenzi wa nyumba ya Afisa Ugani Kata ya Magoma.

Aidha Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amewashukuru Wanakorogwe kwa mapokezi mazuri wakati wa ziara hiyo katika Wilaya ya Korogwe akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kutembelea miradi inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita katika Mkoa wa Tanga, huku akitaja kaulimbiu ya “Waone na Wasikie.”


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI KWA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BIYOMETRIKI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA January 22, 2025
  • ORODHA YA MAJINA KUITWA KWENYE SEMINA YA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BIYOMETRIKI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA January 31, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA SAMIA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA KOROGWE

    May 13, 2025
  • Kheri ya Maadhimisho ya Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    April 26, 2025
  • KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    April 25, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA PASAKA

    April 20, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa